Nelson Mandela ‘Madiba’ amefariki dunia kwa mujibu wa CNN Mzee
Madiba amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 95. Kwa mujibu wa rais wa
Africa Kusini Jacob Zuma amesema mzee Mandela amefariki Ijumaa usiku baada ya
kuugua kwa muda mrefu. Anatarajia kuzikwa baada ya siku 10 zijazo