JAMANI BONGO MOVIE WANAISHA.......BAD NEWS: MAJANGA TENA BONGO MOVIE ; MZEE SMALL AFARIKI DUNIA


Muigizaji mkongwe nchini, Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar. Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili. Mtoto wa marehemu aitwaye, Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee Small. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!

Kutoka kushoto ni Mhariri wa Championi Jumatano, Phillip Nkini, Mzee Small enzi za uhai wake, Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally na Mwandishi wa Championi, Hans Mloli wakielekeq nyumbani kwa Mzee Small.

BOFYA HAPA U LIKE PAGE YETU UPATE ZINGINE KALI ZAIDI

Socials