Aliyekuwa Mwenyekiti wa zamani wa Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani Kata ya Kisesa Mkoa wa Mwanza, Mzee Clement Mabina aliuawa jana mchana na wananchi wenye hasira kali kwa kile kinacho daiwa kwamba ni ugomvi wa ardhi
Mwili wa Mzee Mabina baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa Bungando
Mzee Mabina enzi za uhai wake