NAPANDAGA GARI YA HUYU DADA MARA NYINGI, ILA NGUO ANAZOVAAGA HUNIFANYA NIMUWAZE YEYE SIKU NZIMA

Tunaishi wote mtaani hivyo mara nyingi tu hunipaga lift nikiwa labda natoka kazini au nikiwa naelekea kazini, wakati mwingine akiwa mjini hunipigia simu ili turudi wote mtaani ila niko na wakati mgumu sana huyu dada mrembo sana yani siwezi kuelezea hapa mkanielewa , nguo anazovaaga akiwa anaendesha ni za hatari sana yani hunifanya nimuwaze yeye tu siku nzima, sijui kwakweli nifanyaje wakati mwengine natamani hata nipenyeze mkono hata ni mguse tu lakini naogopa labda msaada wa lift unaweza kuishia hapo kama unavyojua usafiri ni mgumu sana hapa mjini. Naombeni ushauri wadau..!! 

Socials