NDEGE YA ETHOPIA AIRLINE ILIVYOCHIMBA UWANJA WA NDEGE ARUSHA BAADA YA KUTUA GHAFLA IKIWA NA ABIRIA 200

 Ndege aina ya Boeing 767 inayosadikiwa kuwa ni ya Shirika la Ndege la Ethopia imetua kwa dharura majira ya saa tisa alasiri katika kiwanja cha kurushia ndege ndogo cha Arusha badala ya  kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro, KIA. Abiria waliokuemo ndani ya ndege hilo takriban 200 wamenusurika kufa baada ya ndege hilo kutua kwa dharura na kupitiliza nje ya uwanja na kuchimba shimo.







Socials