Exclusive; Baada ya Mseveni kuzuia wanawake kuvaa vimini hawa ndio wanawake waliovuliwa nguo hadharani

Nchi ya Uganda imekuwa katika vichwa vya dunia kwa wiki sasa. Hii ni kwa sababu za sheria kali zilizowekwa katika nchi hio kukabiliana na uchafuzi wa tamaduni asili za kiafrika. 
Baadhi ya mambo nchi hio ni kukabiliana na wanawake wanaovalia nguo za kiajabu ajabu za nusu utupu na pia kukabiliana na janga la ushoga nchini humo. Inasemekana asilimia kubwa ya wauganda aidha wanajihusisha na tabia za ushoga/usenge kwa wanaume na kuvalia mini sketi za kutamanisha kwa wanawake.
 
Kati za sheria hizo zilizopigwa saini na rais Yoweri Museveni, ile ya kunasua wanawake na mini sketi imeshika kasi...
 
Mwanadada huyu alinaswa akiwa amevalia kiguo cha kutamanisha kati ya baadhi ya wapita njia

Sheria za Uganda zimepiga marufuku uvaaji wa nguo za kutamanisha ili kuzuia ubakaji lakini mwanadada huyu alikuwa amevalia nguo za mitego. "Huyu mwanamke ana makalio makubwa, na mapaja makubwa. Jambo hilo limenifanya mimi kupandwa na hisia za ngono kiurahisi, kitu ambacho sikipendi. Ningembaka kiurahisi kwa jambo hili." Jamaa mmoja katika kunndi hilo aliongea kwa madoido kwa wanahabari.

<<<< BOFYA HAPA KWA HABARI ZINGINE KALI>>>

Socials