T.I.D Auponda Vibaya Wimbo Mpya Wa Ali kiba CHEKECHA CHEKETUA




Haya ndiyo maoni ya mwanamuziki TID kuhusu wimbo mpya ya Ali Kiba ya chekecha chekatua kuwa hii nyimbo haina ubora wowote na hadhani kama itadumu hata miezi 3 sokoni.
Ameandika Hivi Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:
This song is not all That..But u guys are making it a big shi**t, its gonna last 3 months #nose Singing

CLICK HERE & LIKE OUR PAGE TO GET MORE NEWS UPDATES 

Socials