PICHA:MAHARUSI HAWA WAFUNGA NDOA WAKIWA WATUPU KAMA WALIVYOZALIWA

PICHA:MAHARUSI HAWA WAFUNGA NDOA WAKIWA WATUPU KAMA WALIVYOZALIWA



Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni,hapa bongoland na sehemu nyingi duniani kwa ujumla maharusi mara nyingihujipangia mavazi yao kwa ajili ya siku ya harusi yao huku wakitumia gharama
nyingi kununulia nguo hizo kama mashela ya gharama na suti za maana na kali.Lakini huko New zealand hayo yote hayaitajiki kwan maharusi hufunga ndoa wakiwa watupu kabisa!!Hawa wanajiita Lowes’ Unclad wedding wakidai wanaonesha uhalisia katika nyanja hiyo.







CLICK HERE FOR MORE STORIES

Socials