POMBE ZA MCHANA MCHANA NI SHIDAAA......ONA HAWA JAMAAAA

POMBE ZA MCHANA MCHANA NI SHIDAAA......ONA HAWA JAMAAAA



Ulevi nooooma.................

Hawa jamaaa walikutwa mchana kweupe wamezima kwa kunywa Pombe nyingi na kuzidiwa..Muda huo wa mchana walitakiwa wawe kazini wakijenga Taifa lakini wao mi mitungi kwenda mbele ....Je unafikiri kuna haja ya Serekali kupiga marufuku unywaji wa Pombe mchana kama walivyofanya wenzetu Kenya?

<< BOFYA HAPA UPATE ZINGINE KALI ZAIDI>>>

Socials